Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Walishambulia sehemu moja iliyokuwa na shughuli nyingi sokoni, kusababisha taharuki miongoni mwa wafanyabiashara, wakazi, anasema afisa mmoja
Watu wasiopungua 13 wameauawa siku ya Ijumaa katika shambulio lingine la kigaidi sokoni Jimbo la Benue kaskazini kati mwa Nigeria.
Shambulio hilo lililenga soko la Anwase huko Mbaikyor,Manispaa ya Kwande, ambapo pia waliteka nyara wanawake na kuchoma vizimba sokoni.
Ibi Andrew, msaidizi wa mwenyekiti wa Manispaa ya Kwande, anasema washambuliaji walivamia sehemu hiyo wakati wa shughuli nyingi shughuli nyingi sokoni, kusababisha taharuki miongoni mwa wafanyabiashara, wakazi,
Aliiambia Anadolu kuwa mwenyekiti wa manispaa Vitalis Neji, kwa kushirikiana na maafisa wa usalama, wameenda eneo hilo kutuliza hali na kuzuai matukio mengine ya vurugu.
Mmoja wa walioshuhudia aliyefahamika kwa jina la Peter anasema washambuliaji walitokea katika mlima wa karibu na eneo hilo, na kuanza kufyatua risasi hewani kabla ya kuchoma baadhi ya maeneo ya soko.
Shambulio hilo linakuja siku mbili baada ya shambulio lingine katika eneo la Abande, pia lililoko katika Manispaa ya Kwande, na kuwaua watu wasiopungua 17, kudhihirisha hofu ya ukosefu wa usalama katika eneo hilo.
Wakazi wamekuwa wakitaka serikali ya jimbo na ile serikali kuu kuimarisha doria za usalama na kulinda jamii vyema kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara.
Comments
No comments Yet
Afrika
Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto
- 07 February 2026
- 10 Views
Uingereza yaagizwa kuwalipa fidia dola milioni $572 wachimba migodi wa Nigeria waliouawa 1949
- 07 February 2026
- 8 Views
UNICEF inasema watoto wasiopungua 20 wameuawa mwezi Januari nchini Sudan
- 07 February 2026
- 10 Views
Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi
- 06 February 2026
- 11 Views
Latest News
Ce que l'on sait de la mort de Seif al-Islam Kadhafi, l’un des fils de Mouammar Kadhafi
- 08 February 2026
- 1 Views
La Somalie et la Türkiye signent un accord de coopération maritime
- 08 February 2026
- 4 Views
Turkiyya ta kama jami'an Mossad na Isra'ila biyu a Istanbul kan leƙen asiri
- 08 February 2026
- 1 Views
Jami’an tsaron Nijeriya sun kwance wani bam da ‘yan ta’adda suka dasa a Zamfara
- 08 February 2026
- 7 Views
Comment