Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Shirika hilo linaonya kuwa mamilioni ya watu wanahitaji msaada huku njaa kali ikienea maeneo mengine yanayokabiliwa na mapigano
Watoto wasiopungua 20 wameuawa mwezi Januari nchini Sudan, wengi wao katika maeneo ya Kordofan na Darfur magharibi mwa Sudan, UNICEF ilisema siku ya Ijumaa.
Vifo hivyo vimeorodheshwa kwenye ripoti iliyoandikwa na shirika hilo la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya watoto likiangazia watoto katika kanda nzima, ikiwemo Sudan.
“Nchini Sudan, mwenzi Januari 2026, watoto wasiopungua 20 wameuawa, wengi wao katika majimbo ya Kordofan na Darfur,” UNICEF ilisema.
Shirika hilo limeonya kuwa “mamilioni ya watoto nchini Sudan wanahitaji misaada, ulinzi na kurudishwa kwa huduma muhimu” huku mapigano yakiendelea katika maeneo mengi nchini humo.
UNICEF inasema njaa kali tayari imethibitishwa huko Al Fasher Kaskazini mwa Darfur na Kadugli huko Kordofan, huku maeneo mengine 20 yakiwa katika hatari.
Comments
No comments Yet
Afrika
Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi
- 06 February 2026
- 9 Views
AU: Shambulizi la M23 kwenye uwanja wa ndege ni ‘tukio la kigaidi’
- 06 February 2026
- 15 Views
Marekani yatuma maafisa wa kijeshi Nigeria
- 04 February 2026
- 14 Views
UN kutuma ujumbe DRC kusaidia kusitisha mapigano
- 04 February 2026
- 18 Views
Latest News
UK ordered to pay $572m in compensation for Nigerian miners killed in 1949
- 07 February 2026
- 5 Views
Burundi : un glissement de terrain fait neuf morts dans l’ouest
- 07 February 2026
- 1 Views
La France devient le premier pays de l'UE à ouvrir un consulat au Groenland
- 07 February 2026
- 7 Views
Comment