Dollar

41,3302

-0.08 %

Euro

48,5915

0.02 %

Gram Gold

4.834,9000

-0.22 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Ederson amehitimisha safari yake ya mafanikio ndani ya City iliyoanza mwaka 2017.

Kipa Mbrazil Ederson ajiunga na Fenerbahce ya Uturuki akitokea Manchester City

Kipa wa Manchester City Ederson, amekamilisha uhamisho wake kuelekea klabu ya Fenerbahce ya nchini Uturuki.

Hayo yanajiri wakati mtaliano Gianluigi Donnarumma akijiandaa kwenda kuchukua nafasi ya Ederson ndani ya Manchester City kwa dau la Dola Milioni 41, baada ya kuambiwa kuwa ‘hahitajiki tena’ na klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa, licha ya kuisaidia kutwaa Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu uliopita.

Kwa upande mwingine, City ilimnunua golikipa wa Burnley, James Trafford mwishoni mwa msimu, licha ya muingereza huyo kushindwa kuonesha makali yake.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#