Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limepitisha mabadiliko kwenye katiba ya nchi hiyo, ambayo yanalenga kumuongezea Rais Emmerson Mnangagwa, muda zaidi wa kukaa wa madarakani.
Mawaziri hao wamependekeza Mnangagwa aendelee kuwa madarakani kwa miaka miwili zaidi, mpaka mwaka 2030.
Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.
Kulingana na Waziri wa Sheria wa Zimbabwe Ziyambi Ziyambi, muswada huo utapelekwa kwanza spika wa bunge la nchi hiyo, na kuchapishwa kwenye gazeti la serikali kabla haujapitishwa na wabunge.
Mnangagwa aliingia madarakani kupitia mapinduzi ya kijeshi, akimuondoa madarakani kiongozi wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe mwaka 2017.
Hata hivyo, vyama vya upinzani vimepinga michakato ya chama cha Zanu-PF cha kumuongezea Mnangagwa muda wa kukaa madarakani.
Comments
No comments Yet
Afrika
Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa
- 11 February 2026
- 2 Views
Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu
- 10 February 2026
- 3 Views
Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi
- 10 February 2026
- 6 Views
Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi
- 10 February 2026
- 10 Views
Latest News
Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa
- 11 February 2026
- 2 Views
Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu
- 10 February 2026
- 3 Views
Russia-Ukraine war: Kenya deplores citizens used as 'cannon fodder'
- 10 February 2026
- 8 Views
Saudiyya ta yi tur da RSF kan munanan ayyukanta a Al Fasher, ta buƙaci a ba da hanyar kai agaji
- 10 February 2026
- 1 Views
Comment