Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Rais Felix Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.
Mpango wa Marekani kuvuna madini adimu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umeendelea kupingwa, siku chache baada ya Rais Felix Tshisekedi kurejea kutoka Marekani.
Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.
Februari 4 mwaka huu, Rais Tshisekedi aliongoza ujumbe wa watu kadhaa nchini Marekani, kwa ajili ya mfululizo wa vikao na maafisa waandamizi kwenye serikali ya Donald Trump, kwa ajili ya kupanga mikakati ya ushirikiano kuhusu mikataba iliyosainiwa mwezi Desemba mwaka jana.
“Tuko tayari kufanya biashara,” alisema Tshisekedi wakati akiwaambia wajumbe kutoka baraza la biashara la Marekani wiki iliyopita.
Majadiliano hayo, yaliangazia mapitio ya mali za DRC ambazo zitatoa fursa kwa wawekezaji wa Marekani.
Hata hivyo, wachambuzi wa mambo nchini DRC, wanaamini kuwa mkakati huo hautosaidia katika kumaliza mapigano katika eneo la Mashariki mwa nchi hiyo.
Comments
No comments Yet
Afrika
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa
- 10 February 2026
- 8 Views
Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu
- 10 February 2026
- 5 Views
Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi
- 10 February 2026
- 7 Views
Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi
- 10 February 2026
- 11 Views
Latest News
Zimbabwe cabinet approves law changes that would extend president's term
- 11 February 2026
- 3 Views
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa
- 10 February 2026
- 8 Views
Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu
- 10 February 2026
- 5 Views
Russia-Ukraine war: Kenya deplores citizens used as 'cannon fodder'
- 10 February 2026
- 10 Views
Comment