Dollar

41,3119

0.04 %

Euro

48,8617

0.51 %

Gram Gold

4.908,5300

0.49 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Mchezo wa ngao ya jamii huashiria kufunguliwa kwa msimu mpya wa mashindano wa 2025-2026, ambao uko chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF).

Ahmed Arajiga kusimama katikati ya dimba kwenye ‘Derby ya Kariakoo’

Refa maarufu nchini Tanzania Ahmed Arajiga, atakuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC na Simba Sports Club, utakaofanyika Septemba 16, 2025 jijini Dar es Salaam.

Mwamuzi huyo atakuwa akisaidiwa na Mohammed Mkono, Kassim Mpanga na Ramadhan Kayoko, kwenye mechi hiyo maarufu kama ‘Derby ya Kariakoo’, itakayopigwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#