Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Katika tukio hilo, wanamgambo walishambulia vijiji vitatu vya Boti, Isigo na Mambimbi vilivyo Kaskazini mwa Kivu na kuharibu mali pamoja na kuua watu.
Watu wapatao 21 wamepoteza maisha kufuatia shambulizi lililofanywa na waasi wa kikundi cha ADF, mashariki mwa DRC.
Tukio hilo lilitokea siku ya Ijumaa katika kitongoji cha Lubero.
“Idadi ya vifo katika shambulio imefikia 21 toka ile ya awali ya 14,” alisema kiongozi wa kikundi cha Bapakombe, Boniface Kanyamulamba, katika mahojiano yake na wanahabari.
“Vijiji vitatu, kikiwemo cha Boti, Isigo na Mambimbi vilishambuliwa katika tukio hilo.”
Mashambulizi hayo yamesababisha watu wengi kupoteza makazi yao, huku wengine wakizikimbia nyumba zao, na kuelekea mji wa Kambau.
Hali ya usalama katika eneo hilo, limeathiri shughuli za kila siku, ikiwemo elimu, biashara na nyinginezo.
Mwaka 2025, taifa la DRC, lilikumbana na changamoto ya kibinadamu, kufuatia milipuko ya magonjwa, migogoro ya kivita na mabadiliko ya tabia nchi.
Comments
No comments Yet
Afrika
Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili
- 09 February 2026
- 7 Views
Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi
- 09 February 2026
- 7 Views
Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF
- 09 February 2026
- 11 Views
Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia
- 08 February 2026
- 8 Views
Latest News
Türkiye hosts strategic dialogue with African countries
- 09 February 2026
- 2 Views
Turkiyya tana karɓar baƙuncin taron tattaunawa kan alaƙarta da Ƙasashen Afirka
- 09 February 2026
- 1 Views
Cisjordanie occupée : la Türkiye et sept autres pays s’opposent aux projets d’annexion israéliens
- 09 February 2026
- 5 Views
Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili
- 09 February 2026
- 7 Views
Comment