Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Makubaliano hayo ni ya kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na kijeshi wa pande mbili, imesema Wizara ya Ulinzi ya Somalia
Somalia na Saudi Arabia zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa ulinzi na kijeshi, Wizara ya Ulinzi ya Somalia ilitangaza Jumatatu.
Wizara ilisema katika taarifa kuwa makubaliano hayo yataimarisha ushirikiano wa ulinzi na kijeshi kati ya nchi hizo mbili huku yakigusa nyanja mbalimbali za maslahi ya pamoja.
Hati ya Maelewano (MoU) ilisainiwa na Waziri wa Ulinzi wa Somalia Ahmed Moallim Fiqi na mwenzake wa Saudi Arabia, Mwanafalme Khalid bin Salman, jijini Riyadh, mji mkuu wa Saudi.
Ushirikiano wa kimkakati pia unalenga kuboresha utulivu wa kikanda na usalama wa Bahari ya Sham, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani vya Somalia.
Uhusiano wa Somalia na Saudi Arabia umezidi kuwa wa karibu tangu Israel ilipotambua eneo lake linalotaka kujitenga, Somaliland.
Somalia pia inatafuta msaada wa kiufundi wa hali ya juu na vifaa vya kijeshi kutoka kwa nchi marafiki ili kulinda mipaka yake ya ardhini na anga yake.
Comments
No comments Yet
Afrika
Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF
- 09 February 2026
- 9 Views
Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia
- 08 February 2026
- 7 Views
Ethiopia yakana kufadhiliwa na Marekani ujenzi wa bwawa la umeme
- 08 February 2026
- 10 Views
Watu 13 wauawa katika shambulio lingine la kigaidi kaskazini mwa Nigeria
- 08 February 2026
- 13 Views
Latest News
La population de la Türkiye dépasse les 86 millions en 2025
- 09 February 2026
- 2 Views
Wanousky Montana sur KayiTV : l’humour comme force pour inspirer la jeunesse
- 09 February 2026
- 6 Views
Ousmane Majo : Inspire la jeunesse nigérienne sur KayiTV
- 09 February 2026
- 2 Views
Abel Zamani : un artiste nigérien à l’honneur sur le plateau de KayiTV
- 09 February 2026
- 4 Views
Comment