Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Matokeo hayo, yanaifanya Young Africans kufikisha alama 5, ikishuka hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mashabiki wa Klabu ya Young Africans ya Tanzania, sasa watakuwa wanapiga mahesabu ya namna gani wataingia hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa AS FAR Rabat ya nchini Morocco, Februari 7, 2026.
Matokeo hayo, yanaifanya Young Africans kufikisha alama 5, ikishuka hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
Kwa sasa, Young Africans, itakuwa ikipigia mahesabu mechi zake za mwisho, ili kujua hatma yake ijayo.
Ili iwe na nafasi ya kuingia hatua ya Robo Fainali, Young Africans inapaswa kushinda mchezo wake wa mwisho kwenye kundi hilo, na kuiombea AS FAR ipoteze mchezo wake.
Katika mchezo huo wa Februari 7, 2026, bao lililotatiza matumaini ya Young Africans, lilifungwa na Anas Bach katika dakika ya 85, baada ya walinzi wa timu hiyo ya Tanzania, kujichanganya wakati wa kuokoa hatari, na mpira kumkuta mfungaji aliyeachia shuti ndani ya boksi, huku kipa Djigui Diarra akishindwa kuzuia mchomo huo.
Comments
No comments Yet
Afrika
Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia
- 08 February 2026
- 7 Views
Ethiopia yakana kufadhiliwa na Marekani ujenzi wa bwawa la umeme
- 08 February 2026
- 10 Views
Watu 13 wauawa katika shambulio lingine la kigaidi kaskazini mwa Nigeria
- 08 February 2026
- 12 Views
Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto
- 07 February 2026
- 14 Views
Latest News
Coordinated attacks: Illegal Israeli settlers beat, injure Palestinians across occupied West Bank
- 09 February 2026
- 2 Views
Sudan war: Türkiye condemns RSF attack on displaced civilians
- 09 February 2026
- 7 Views
Algeria to cancel air services agreement with UAE
- 09 February 2026
- 11 Views
Gunmen kill three people, abduct Catholic priest in northern Nigeria
- 09 February 2026
- 10 Views
Comment