Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Khartoum inasema hatua hiyo inakuja baada ya kupata uhakika ya kutoingiliwa na kuheshimiwa kwa mamlaka yake kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Serikali za Nchi (IGAD).
Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan ilitangaza siku ya Jumatatu kuwa imerudisha uanchama wake tena na kushiriki kamili katika IGAD, miaka miwili baada ya kusitisha uanachama wake.
Serikali ya Sudan iliamua kuhuisha tena nafasi yake katika IGAD, ikinukuu "taarifa chanya" kutoka kwa sekretarieti ya shirika hilo ambayo ilithibitisha kuheshimu mifumo ya msingi inayoongoza ushirikiano wa kikanda, wizara hiyo ilisema.
Taarifa hiyo iliongeza kuwa "shirika liliahidi kutoingilia masuala ya ndani ya nchi wanachama, ikiwa ni pamoja na kutambua kikamilifu mamlaka ya Sudan, uhuru wa mipaka, umoja wa kitaifa na usalama wa taasisi zake za serikali zilizopo."
Sudan pia ilisema amani na usalama wa kimataifa vinasalia kuwa miongoni mwa "vipaumbele vyake vya juu" na kwamba inafanya kila juhudi kuvilinda katika ngazi za kikanda na kimataifa, na kuongeza kuwa inaona ushirikiano wa kikanda kama msingi wa ushirikiano mpana wa kimataifa.
Khartoum ilisitisha uanachama wake katika IGAD mnamo Januari 20, 2024, ikitaja kile ilichoeleza kuwa ni kuvuka mipaka kwa shirika hilo, ikiwa ni pamoja na kuweka hali ya Sudan kwenye ajenda ya mkutano wa 42 wa Umoja huo bila ya kuishauri nchi hiyo.
Comments
No comments Yet
Afrika
Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi
- 09 February 2026
- 7 Views
Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF
- 09 February 2026
- 11 Views
Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia
- 08 February 2026
- 8 Views
Ethiopia yakana kufadhiliwa na Marekani ujenzi wa bwawa la umeme
- 08 February 2026
- 10 Views
Latest News
Turkiyya tana karɓar baƙuncin taron tattaunawa kan alaƙarta da Ƙasashen Afirka
- 09 February 2026
- 1 Views
Cisjordanie occupée : la Türkiye et sept autres pays s’opposent aux projets d’annexion israéliens
- 09 February 2026
- 2 Views
Türkiye : la population dépasse les 86 millions en 2025
- 09 February 2026
- 7 Views
Wanousky Montana sur KayiTV : l’humour comme force pour inspirer la jeunesse
- 09 February 2026
- 15 Views
Comment