Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
IOM inataka kuongezeka kwa ushirikiano wa kimataifa na hatua za ulinzi thabiti, ikijumuisha upanuzi wa njia salama na za kisheria za uhamiaji, ili kupunguza vifo.
Takriban wahamiaji 53, ikiwa ni pamoja na watoto wawili wachanga, wamekufa au hawajulikani walipo baada ya boti iliyokuwa imebeba watu 55 kuzama karibu na pwani ya Libya, taarifa hiyo ya Jumatatu ni kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).
Boti hiyo ilipinduka kaskazini mwa mji wa pwani wa Zuwara Februari 6, na wanawake wawili tu raia wa Nigeria waliokolewa na mamlaka za Libya.
Kwa mujibu wa waliookolewa, mwanamke mmoja alimpoteza mume wake katika ajali hiyo, wakati mwenzake alipoteza watoto wawili wachanga baada ya boti iliyojaa kupita kiasi kuanza kupenyeza maji na kuzama takriban baada ya saa sita za safari.
IOM ilisema wahamiaji na wakimbizi hao, wote wakiwa na utaifa wa Kiafrika, walitoka Al-Zawiya mwendo wa usiku Februari 5, wakijaribu kuvuka Bahari ya Mediterania kuelekea Ulaya. IOM ilithibitisha kutoa msaada wa haraka kwa waliookolewa ikiwemo kuwapa matibabu.
Janga hili linaongeza idadi ya matukio ya kifo vinayoongezeka kwa wahamiaji haramu kupitia Bahari ya Mediterania.
Comments
No comments Yet
Afrika
Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili
- 10 February 2026
- 9 Views
21 wauwawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC
- 09 February 2026
- 8 Views
Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili
- 09 February 2026
- 8 Views
Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi
- 09 February 2026
- 8 Views
Latest News
Somali citizens build new house for former President Farmaajo
- 10 February 2026
- 2 Views
Eritrea rejects Ethiopia's 'fabricated' claims of troops on its soil as tensions resurface
- 10 February 2026
- 11 Views
Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili
- 10 February 2026
- 9 Views
DR Congo: Rebels kill 21 people in three villages
- 10 February 2026
- 12 Views
Comment