Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich.
Ukraine imepokea shehena ya kwanza ya droni za kijeshi kama sehemu ya ushirikiano wa kiulinzi kati yake na Ujerumani.
Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich, siku ya Ijumaa.
"Miezi michache iliyopita, tulikubaliana kushirikiana katika eneo la ulinzi, na tumeweza kuikabidhi Ukraine shehena ya kwanza ya droni zilizotengenezwa Ujerumani,” alisema Pistorius.
Kulingana na Pistorius, droni hizo zitakabidhiwa kwa majeshi ya ulinzi ya Ukraine.
Pistorius aliongeza kuwa, nchi hiyo imeweka shabaha ya kutengeneza droni 10,000 ifikapo mwisho wa mwaka 2026.
"Vifaa hivi hutumika wakati wa mapambano, ujasusi na wakati wa kutoa msaada kwenye uwanja wa vita," aliongeza.
Kwa upande, Rais Zelenskyy, ambaye yupo nchini Ujerumani kwa ajili ya Mkutano wa Usalama unaofanyika jijini Munich, aliishukuru serikali ya Ujerumani kwa msaada huo, akiahidi kuiunga mkono nchi hiyo katika miradi yake mbalimbali barani Ulaya.
Comments
No comments Yet
Ulimwengu
Trump amlaumu rais wa Israel kwa kutotoa msamaha kwa Netanyahu
- 13 February 2026
- 8 Views
Kim Jong Un wa Korea Kaskazini amuandaa binti yake kuwa mrithi wa kiti cha urais
- 12 February 2026
- 12 Views
Marekani yaiwekea Iran vikwazo vipya muda mfupi baada ya mazungumzo kukamilika nchini Oman
- 07 February 2026
- 24 Views
Trump atafuta makubaliano na Iran katikati ya mvutano wa kijeshi
- 02 February 2026
- 26 Views
Latest News
Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko
- 14 February 2026
- 3 Views
Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23
- 14 February 2026
- 5 Views
'Rashin sake wa hukumomin gwamnatin Nijeriya kuɗaɗen kasafi koma-baya ne ga ci gaban ƙasa'
- 13 February 2026
- 5 Views
Waziri wa Elimu wa Ghana apatwa na ajali barabarani
- 13 February 2026
- 7 Views
Comment