Dollar

40,9388

0.01 %

Euro

47,6869

-0.11 %

Gram Gold

4.395,9300

-0.25 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Mpango huo unahusisha watu wenye rekodi za uhalifu, watoto wasio na walezi, na wale wanaosita kurudi makwao, kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo.

Uganda yakubali kupokea wahamiaji walionyimwa kuingia nchini Marekani

Serikali ya Uganda imeafikiana na Marekani makubaliano ya kuwapokea na kuwapa hifadhi wahamiaji walionyimwa kuingia Marekani.

Kulingana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Uganda Bagiire Vincent Waiswa, mpango huo utahusisha kuwapokea wahamiaji wenye rekodi za uhalifu, watoto wasio na walezi, na wale wanaosita kurudi makwao.

 Waiswa aliongeza kuwa, nchi hizo ziko mbioni kukamilisha mpango na makubaliano hayo.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#