Dollar

42,2660

0.05 %

Euro

49,1014

0.19 %

Gram Gold

5.691,3400

-0.11 %

Quarter Gold

9.512,1700

0 %

Silver

72,1700

-0.27 %

Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amemfuta kazi makamu wake Benjamin Bol Mel siku ya Jumatano.

Katika hatua nyingine, kiongozi huyo amemvua Bol Mel nafasi ya uongozi wa chama tawala nchini humo.

Uamuzi huo umemfanya Bol Mel, ambaye alikuwa akitajwa kama mrithi sahihi wa Rais Salva Kiir, kupoteza nafasi ya juu ya Ujenerali ndani ya jeshi la nchi hiyo, na kwa sasa atakuwa afisa wa kawaida ndani ya jeshi hilo.

Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#