Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
Rais wa China Xi Jinping na mkewe Peng Liyuan wamefungua rasmi mkutano wa Viongozi wa Dunia kuhusu Wanawake kwa kujumuika pamoja na viongozi kutoka maeneo mbalimbali ulimwenguni.
Kongamano hilo linawaleta pamoja viongozi wa nchi, waasisi wa biashara, wavumbuzi wa teknolojia, na mabalozi wa utamaduni —wakiangazia mikakati ya kuimarisha maisha na kuwawezesha wanawake.
Baadhi ya vikao muhimu vitaangazia mifumo ya kidijitali, ujasiriamali, na mifumo ya sera ambayo itaimarisha nafasi ya wanawake katika ngazi za uongozi.
Kwa viongozi vijana duniani na wajasiriamali wenye nia ya kufaidi masoko yanayoibuka, mkutano huu utakuwa ukiangazia fursa hizo pia.
Watoa mada wataonesha data za namna teknolojia inaweza kusaidia wanawake kuanzisha biashara na kuwa sehemu ya maendeleo ya uchumi.
Pia masuala kama ya haki za binadamu, upatikanaji sawa wa elimu kwa wote na namna sanaa na michezo inaweza kusaidia ukuzaji.
Watoa mada pia wataangazia namna hayo yote yatakavyoweza kusaidia kupazwa kwa sauti za wanawake kupitia tamaduni mbalimbali.
Comments
No comments Yet
Afrika
Mzozo wasukuma nje watu 300,000 kutoka Sudan Kusini mwaka 2025: UN
- 14 October 2025
- 1 Views
Taharuki Madagascar: Rais Rajoelina 'hajulikani aliko'
- 14 October 2025
- 4 Views
Cape Verde yaandika historia kwa kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza
- 14 October 2025
- 4 Views
Upinzani wa Côte d'Ivoire waandamana mjini Abidjan
- 13 October 2025
- 8 Views
Latest News
Mzozo wasukuma nje watu 300,000 kutoka Sudan Kusini mwaka 2025: UN
- 14 October 2025
- 1 Views
Ghana : le naufrage d'un bateau fait 15 morts, principalement des enfants
- 14 October 2025
- 1 Views
Mali : les ressortissants américains devront verser 10 000 dollars de caution pour un visa
- 14 October 2025
- 4 Views
Taharuki Madagascar: Rais Rajoelina 'hajulikani aliko'
- 14 October 2025
- 4 Views
Comment