Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
Cape Verde iliichapa Eswatini mabao 3-0 siku ya Jumatatu na kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026, hatua inayoiwezesha kushiriki mashindano hayo ya kimataifa kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya taifa hilo.
Timu hiyo kutoka visiwa vilivyo kando ya pwani ya Senegal ina idadi ya watu wapatao 550,000, na hivyo kuifanya Cape Verde kuwa nchi yenye idadi ndogo zaidi ya watu kuwahi kuiwakilisha Afrika kwenye fainali za Kombe la Dunia.
Cape Verde inaongoza Kundi D kwa alama 23, alama nne zaidi ya Cameroon waliomaliza nafasi ya pili.
Cameroon, ambao wanashikilia rekodi ya Afrika kwa kushiriki Kombe la Dunia mara nyingi zaidi (mara 8 ), walitoka sare ya 0-0 dhidi ya Angola mjini Yaoundé, Cameroon.
Comments
No comments Yet
Afrika
Upinzani wa Côte d'Ivoire waandamana mjini Abidjan
- 13 October 2025
- 6 Views
Kiongozi wa upinzani Patrick Herminie ashinda marudio ya ucaguzi wa urais Ushelisheli
- 12 October 2025
- 6 Views
Rais mkongwe zaidi duniani anataka kuongeza muda wa utawala huku Cameroon ikifanya uchaguzi
- 12 October 2025
- 8 Views
Latest News
Madagascar's president delays national address, says army unit vows media control
- 14 October 2025
- 1 Views
Suspected ADF rebels kill 19 people in eastern DRC
- 14 October 2025
- 4 Views
Tunisia finish 2026 World Cup qualifiers without conceding a goal
- 13 October 2025
- 6 Views
Lasting Gaza peace can only be achieved with a two-state solution, Erdogan tells Starmer
- 13 October 2025
- 8 Views
Comment