Sport
Dollar
41,0472
0 %Euro
47,8290
0.01 %Gram Gold
4.472,2600
-0.14 %Quarter Gold
0,0000
%Silver
0,0000
%- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
Uwanja wa Kimataifa wa Entebbe nchini Uganda umepata abiria wengi zaidi mwezi Julai 2025 ikiwa ni 230,577, idadi kubwa zaidi katika historia ya uwanja huo wa ndege.
Hii inajumuisha abiria 119,127 waliowasili na wengine 111,450 waliosafiri kutoka uwanja huo, ikiwa ni wastani wa abiria 7,437 kwa siku.
Abiria waliowasili walikuwa zaidi ya wale walioondoka katika kipindi cha mwezi huo.
Kabla ya mwezi huu mwezi mwingine ambao uwanja wa Entebbe ulipata abiria wengi ulikuwa Disemba 2024. Abiria walikuwa 222,301, ikiwa ni wastani wa abiria wanaowasili na wanaoondoka 7,171 kwa siku.
Comments
No comments Yet
Afrika
Tanzania yajikita kuongeza thamani ya madini ya nikeli na shaba
- 26 August 2025
- 4 Views
DR Congo na waasi wa M23 waanzisha tena mazungumzo ya amani - Qatar
- 26 August 2025
- 2 Views
Zimbabwe yarejesha marufuku ya uagizaji wa mahindi baada ya mavuno mengi
- 26 August 2025
- 3 Views
Botswana inatangaza dharura ya afya ya umma huku kliniki zikikosa dawa
- 26 August 2025
- 3 Views
Latest News
Africa unveils continental cholera emergency preparedness, response plan
- 26 August 2025
- 7 Views
Tanzania yajikita kuongeza thamani ya madini ya nikeli na shaba
- 26 August 2025
- 4 Views
Côte d'Ivoire's President Ouattara submits official bid for fourth term
- 26 August 2025
- 10 Views
Japan asks Nigeria to correct statement on 'special visas' for Nigerians
- 26 August 2025
- 9 Views
Comment