Dollar

41,0497

0 %

Euro

47,8348

-0.01 %

Gram Gold

4.470,6300

-0.17 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Wizara ya afya ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika ilionya mapema mwezi Agosti kuwa inaishiwa na dawa na vifaa kutokana na changamoto za kifedha ambazo hazikutajwa, na kuahirisha upasuaji wote usio wa dharura.

Botswana inatangaza dharura ya afya ya umma huku kliniki zikikosa dawa

Rais wa Botswana Duma Boko alitangaza dharura ya afya ya umma siku ya Jumatatu, akisema ugavi wa kitaifa wa matibabu umeshindwa kumudu, na kuziacha hospitali na zahanati zikiwa na upungufu wa dawa na vifaa vingine muhimu.

Boko alisema wanajeshi watasimamia zoezi la ugawaji wa dharura, na malori ya kwanza yataondoka katika mji mkuu Gaborone na kuelekea maeneo ya mbali kufikia jioni.

Wizara ya afya ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika ilionya mapema mwezi Agosti kuwa inaishiwa na dawa na vifaa kutokana na changamoto za kifedha ambazo hazikutajwa, na kuahirisha upasuaji wote usio wa dharura.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#