Dollar

41,9592

0.01 %

Euro

48,9070

0.38 %

Gram Gold

5.352,1700

0.98 %

Quarter Gold

9.151,7600

0 %

Silver

64,4200

0.38 %

Polisi nchini Tanzania wametangaza amri ya kutotoka nje katika mji wa Dar es Salaam kuanzia saa kumi na mbili jioni.

Tanzania yatangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi

Amri hiyo imetolewa baada ya kuzuka kwa maandamano ya kupinga shughuli za uchaguzi.

Taarifa ya kutotoka nje imetolewa na Inspekta Jenerali wa Polisi Tanzania Camillus Wambura.

Hapo awali shirika linalofuatilia masuala ya huduma za mitandao duniani, Netblocks limeeleza kuwepo kwa kutatizika kwa huduma za mitandao nchini Tanzania siku ya Uchaguzi Mkuu, ikiwa thibitisho la taarifa za kutokuwepo kwa huduma hizo kama ilivyo kawaida.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#