Dollar

41,3042

0.05 %

Euro

48,8078

-0.01 %

Gram Gold

4.836,5400

-0.42 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Kulingana na orodha hiyo iliyotolewa Septemba 18, 2025, Hispania imechupa hadi nafasi ya kwanza ikitokea ya pili, huku Argentina ikiporomoka hadi nafasi ya tatu kutokea ya pili.

Tanzania yashuka viwango vya ubora vya FIFA, Uganda yapanda

Tanzania imeshuka kutoka nafasi ya 103 hadi ya 107 kwa ubora wa soka duniani, kulingana na orodha ya viwango vya ubora iliyotolewa Septemba 18, 2025 na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).

Mabadiliko hayo yanatokana na matokeo ya hivi karibuni ya timu ya taifa ya soka ya nchi hiyo ‘Taifa Stars’, katika mechi za kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026.

‘Taifa Stars’ ilitoka sare ya 1-1 na Congo kabla ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Niger, katika michezo yake.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#