Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.
Shirika la Maendeleo la Uturuki (TIKA) limezindua mradi wa ufugaji kuku kwa akina mama wa eneo la Tegeta, jijini Dar es Salaam.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na TIKA, mradi huo unalenga kuinua fursa za vipato kwa akina mama hao, pamoja na kuwawezesha akina mama kujipatia vyakula vyenye virutubisho vya protini.
Kupitia mradi huo, jumla ya wanawake 30, walipokea mafunzo ya ufugaji kuku pamoja na mbinu za usimamizi wa masoko.
Baada ya kuhitimisha mafunzo yao, washiriki wa mradi huo walipatiwa bidhaa muhimu kwa ajili ya kuendesha biashara zao.
Shirika hilo, pia lilitoa viatamizi kwa akina mama hao, kama sehemu ya nyenzo muhimu kwa mradi huo.
TIKA, pia ilitoa magari maalumu ya kusambaza mayai, ili kuwapunguzia akina mama hao adha ya kusafirisha bidhaa zao.
Shirika la TIKA limetekeleza jumla ya miradi 350 nchini Tanzania, hasa katika maeneo ya kilimo, ufugaji, elimu, barabara na uwezeshaji wa akina mama.
Comments
No comments Yet
Afrika
Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52
- 12 February 2026
- 7 Views
Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri
- 11 February 2026
- 6 Views
Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia
- 11 February 2026
- 8 Views
Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye
- 11 February 2026
- 7 Views
Latest News
Qatar sends humanitarian aid to Sudan
- 12 February 2026
- 1 Views
Children killed in RSF drone strike on mosque in Sudan's Kordofan
- 12 February 2026
- 4 Views
Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52
- 12 February 2026
- 7 Views
Türkiye, Greece aim to raise trade to $10B, maintain dialogue on disputes
- 11 February 2026
- 10 Views
Comment