Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Mackenzie alijipatia umaarufu kwa kuwahubiria waumini wake, washinde njaa, na baada ya kufa wakutane na Yesu.
Kiongozi wa dhehebu la njaa nchini Kenya, mchungaji Paul Mackenzie, siku ya Jumatano amesomewa shitaka la kusababisha vifo vingine 52, kupitia mahubiri yake.
Mackenzie, ambaye aligonga vichwa vya habari kufuatia dhehebu lake ambalo lilisababisha vifo vya zaidi ya waumini 400 nchini Kenya mwaka 2023, maarufu kama "Mauaji ya Msitu wa Shakahola", amekana madai hayo kufuatia mashitaka hayo, huku akiendelea kubakia rumande.
Hata hivyo, mwaka jana, miili zaidi iligundulika katika eneo la kijiji cha Binzaro, kilichopo kilomita 30 kutoka msitu wa Shakahola, pembezoni mwa Bahari ya Hindi, ikiashiria kwamba, bado dhehebu hilo lilikuwa likiendelea na ibada zake, hata baada ya kukamatwa kwa Mackenzie.
Kupitia taarifa yake iliyowekwa kwenye ukurasa wa X, Ofisi ya Mwendesha Mashitaka nchini Kenya, ilisema kuwa imemshitaki Mackenzie na wenzake kwa kosa la kufanikisha vitendo vya kigaidi, kutokana na vifo vya watu wa 52, katika eneo la Kwa Binzaro, Kaunti ya Kilifi.
Washitakiwa hao walikana makosa hayo, huku kesi hiyo ikipangwa kusikilizwa tena Machi 4, mwaka huu.
"Wanatuhumiwa kwa kueneza imani hii ya kikatili ambayo imefanikisha vitendo vya kigaidi,” ilisema ofisi hiyo.
Comments
No comments Yet
Afrika
Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania
- 12 February 2026
- 2 Views
Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri
- 11 February 2026
- 6 Views
Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia
- 11 February 2026
- 8 Views
Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye
- 11 February 2026
- 7 Views
Latest News
Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania
- 12 February 2026
- 2 Views
Türkiye, Greece aim to raise trade to $10B, maintain dialogue on disputes
- 11 February 2026
- 8 Views
Somalia elected to Africa Union security council for first time
- 11 February 2026
- 8 Views
DR Congo denies handing over its mineral wealth in Trump peace deal
- 11 February 2026
- 9 Views
Comment