Dollar

41,3970

0.08 %

Euro

48,6749

-0.05 %

Gram Gold

4.844,4300

0.33 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Hata hivyo, urahisi huo unaweza kubadilika baada ya nchi hiyo kujiondoa kutoka Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).

Raia wa Afrika kutolipia viza kuingia Burkina Faso

Raia wa Afrika wanaotarajia kuitembelea Burkina Faso, sasa hawatohitaji kulipia gharama za viza.

Hatua hiyo inalenga kukuza muingiliano wa watu na bidhaa ndani ya nchi hiyo, kulingana na Waziri wa Usalama wa Burkina Faso, Mahamadou Sana.

"Kuanzia sasa, raia atokaye nchi yoyote ya Kiafrika, hatolazimika kulipia gharama za viza ili aingie Burkina Faso,” alisema Sana, katika kikao cha baraza la mawaziri kilichoongozwa na Kapteni Ibrahim Traoré siku ya Alhamisi.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#