Dollar

40,7152

0.18 %

Euro

47,6857

0.08 %

Gram Gold

4.448,3900

0.31 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Kati ya waliopoteza maisha katika ajali hiyo, ni pamoja na dereva wa basi hilo linalomilikiwa na kampuni ya KPC.

Kenya: Ajali ya treni na basi dogo yaua watu 8

Watu nane wamepoteza maisha baada ya basi dogo walilokuwa wakisafiria kugonga treni ya mizigo nchini Kenya.

Kulingana na Kamanda wa Polisi wa Naivasha, Anthony Keter ajali hiyo iliyotokea jioni ya Agosti 7, 2025, ilihusisha treni ya mizigo na basi dogo la kampuni ya Kenya Pipeline (KPC).

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#