Dollar

40,6802

0.05 %

Euro

47,5632

0.19 %

Gram Gold

4.419,1000

0.37 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Kupitia taarifa yake, mwenyekiti huyo alituma salamu zake za rambirambi kwa Rais wa Ghana John Dramani Mahama, serikali ya nchi, watu wa Ghana, pamoja na familia za wafiwa, kufuatia ajali hiyo iliyotokea Agosti 6, 2025.

Umoja wa Afrika wahuzunishwa na ajali ya helikopta iliyoua mawaziri wawili wa Ghana

Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Mahmoud Ali Youssouf, amesikitishwa na ajali ya helikopta iliyogharimu maisha ya watu 8, wakiwemo mawaziri wawili nchini Ghana.

Katika taarifa yake iliyotolewa Agosti 6, 2025, Youssouf alisema kuwa amesikitishwa na ajali hiyo, ambayo imechukua uhai wa Waziri wa Ulinzi wa Ghana Edward Omane Boamah na mwenzake wa Sayansi na Teknolojia, Ibrahim Murtala Mohammed.

Kupitia taarifa yake, mwenyekiti huyo alituma salamu zake za rambirambi kwa Rais wa Ghana John Dramani Mahama, serikali ya nchi, watu wa Ghana, pamoja na familia za wafiwa, kufuatia ajali hiyo iliyotokea Agosti 6, 2025.

“Umoja wa Afrika upo pamoja na Ghana katika wakati huu mgumu. Roho za marehemu zipumzike kwa amani.”

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#