Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Hata hivyo, msamaha huo hautoihusu Eswatini, ambayo ina uhusiano wa kidiplomasia na Taiwan.
China inalenga kuziondolea nchi za Afrika ushuru, ifikapo mwezi Mei mwaka huu, rais wa nchi hiyo Xi Jinping amesema.
Kufikia sasa, China imeyaondolea ushuru mataifa 33 ya Afrika, huku ikisisitiza kuwa inalenga kuondoa tozo hizo kwa nchi nyingi zaidi barani humo.
Hata hivyo, msamaha huo hautoihusu Eswatini, ambayo ina uhusiano wa kidiplomasia na Taiwan.
Hii ni kutokana kwamba, China inadai kuwa kisiwa hicho ni mali yake.
Mataifa mengi ya Afrika kwa sasa, yanaiangalia China kama mshirika muhimu baada ya Marekani kuamua kuziwekea nchi za Afrika viwango vikubwa vya ushuru, mwaka jana.
Kulingana na Rais Xi, mpango wa kuziondolea ushuru nchi za Afrika, utatoa fursa kubwa za maendeleo kwa nchi hizo.
Comments
No comments Yet
Afrika
Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina
- 15 February 2026
- 6 Views
Umoja wa Afrika wafurahishwa na mpango wa usitishaji wa mapigano DRC
- 14 February 2026
- 9 Views
Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko
- 14 February 2026
- 9 Views
Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23
- 14 February 2026
- 11 Views
Latest News
'Yanbindiga sun kashe DPO na 'yansandan Nijeriya a Jihar Katsina
- 15 February 2026
- 1 Views
Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina
- 15 February 2026
- 6 Views
African Union leaders open summit with water, climate shocks at top of agenda
- 15 February 2026
- 8 Views
Russia denies BRICS seeking to transform into military alliance
- 14 February 2026
- 10 Views
Comment