Dollar

40,8700

0.06 %

Euro

47,6979

-0.06 %

Gram Gold

4.379,2500

0.02 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Hii ni baada ya shirika hilo kupata kibali cha safari hizo kutoka serikali ya Nigeria.

Air Tanzania mbioni kuanza safari za Dar es Salaam-Lagos

Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) liko mbioni kuanza safari za Dar es Salaam hadi Lagos kufuatia kupewa kwa kibali maalumu kutoka serikali ya Nigeria.

Kulingana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya anga ya Nigeria, Ibrahim Abubakar Kana, kibali cha kuiruhusu Air Tanzania kutua nchini humo.

Kibali hicho kitarahisisha ufanisi, kuboresha usalama na kuongeza ushirikiano wa safari za anga kati ya Tanzania na Nigeria.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#