Sport
Dollar
41,8389
0.03 %Euro
48,6820
0.13 %Gram Gold
5.621,1200
0.93 %Quarter Gold
9.360,7700
0 %Silver
70,2100
1.43 %Afrika Kusini imekuwa taifa la hivi karibuni kutoka Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026 baada ya kuichapa Rwanda mabao 3-0 siku ya Jumanne na kuongoza kundi C.
Timu hiyo ya Bafana bafana imefuzu Kombe la Dunia licha ya kuondolewa pointi tatu kwa kumchezesha mchezaji asiyestahili katika mechi za awali.
Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Afrika Kusini kushiriki Kombe la Dunia tangu ilipofuzu moja kwa moja kama mwenyeji mwaka 2010.
Ushindi huo wa Afrika Kusini umeifanya Nigeria kumaliza katika nafasi ya pili kwenye kundi hilo, na sasa italazimika kushiriki hatua ya mchujo ili kufuzu.
Nigeria iliifunga Benin 4-0 nyumbani, baada ya mshambuliaji Victor Osimhen kufunga mabao matatu.
Comments
No comments Yet
Comment