Dollar

42,1010

0 %

Euro

48,3709

0.01 %

Gram Gold

5.391,4700

1.14 %

Quarter Gold

9.055,1100

0.33 %

Silver

65,1900

2.15 %

Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.

Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York

Zohran Mamdani amewashinda gavana wa zamani Andrew Cuomo na mgombea wa Republican Curtis Sliwa.

Mamdani, mzaliwa wa Uganda mwenye asili ya Kihindi, amekuwa Meya wa kwanza Mwislamu na mwenye asili ya Asia Kusini katika historia ya mji huo.

Kampeni yake ilijikita katika masuala ya gharama za maisha, akihaidi kusimamisha ongezeko la kodi ya nyumba, kutoa usafiri wa umma bure, na kuongeza kodi kwa matajiri.

Licha ya kushambuliwa vikali na Rais Donald Trump, matajiri wakubwa na makundi yanayounga mkono Israel, mtindo wake wa kampeni unaotegemea wananchi wa kawaida uliwapendeza wapiga kura, na kuashiria mwelekeo mpya wa mrengo wa kushoto ndani ya Chama cha Democratic.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#