Dollar

43,3725

0.25 %

Euro

51,3279

0.73 %

Gram Gold

6.945,5100

1.57 %

Quarter Gold

11.455,2500

2.32 %

Silver

142,9700

6.92 %

Hatua hiyo, inakuja takribani wiki tatu, tangu Marekani imuondoe madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, ambaye mtangulizi wake Hugo Chavez alilazimisha utaifishwaji wa makampuni ya nje ya mafuta katikati ya miaka 2000.

Venezuela yaiwekea soko huria sekta yake ya mafuta

Wabunge wa Venezuela wameanza mkakati wa kuisogezea sekta binafsi ya taifa hilo, fursa zinazopatikana kwenye sekta ya mafuta ya nchi hiyo.

Hatua hiyo, pia inatajwa kuwa kama habari njema kwa Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye ameonesha kushawishika na fursa hiyo.

Muswada wa watunga sheria hao, unahitimisha miongo umiliki wa serikali kwenye sekta hiyo.

Hatua hiyo, inakuja takribani wiki tatu, tangu Marekani imuondoe madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, ambaye mtangulizi wake Hugo Chavez alilazimisha utaifishwaji wa makampuni ya nje ya mafuta katikati ya miaka 2000.

Muswada huo, pia umepigiwa chapuo na makamu wa zamani wa Maduro, Delcy Rodriguez.

Wakati huo huo, Marekani imemteua Laura F. Dogu, kama mwakilishi wake mpya nchini Venezuela.

Hatua hiyo, inatajwa kama mwanzo wa kurejesha mahusiano ya kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili.

 

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#