Dollar

41,3713

-0.01 %

Euro

48,8068

0.35 %

Gram Gold

4.970,1100

1.36 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Collen Kebinatshipi, ambaye pia alishinda mbio za mita 400, alikimbia vizuri katika mkondo wa mwisho na kujinyakulia medali ya dhahabu wakati Botswana ikiishinda Marekani na Afrika Kusini katika mbio za kusisimua.

Siku ya mapumziko Botswana kusherehekea ushindi katika katika riadha za Tokyo

Botswana imetangaza siku ya mapumziko kitaifa kusherehekea medali ya dhahabu ya timu yake katika mbio za mita 4x400 kwa wanaume kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia huko Tokyo na kuwa washindi wa kwanza kutoka bara la Afrika kushinda mashindano hayo.

Collen Kebinatshipi, ambaye pia alishinda mbio za mita 400, alikimbia vizuri katika mkondo wa mwisho na kujinyakulia medali ya dhahabu wakati Botswana ikiishinda Marekani na Afrika Kusini katika mbio za kusisimua.

Rais wa Botswana Duma Gideon Boko alitangaza sikukuu kuwa Septemba 29, siku moja kabla ya siku ya uhuru wa nchi hiyo, kuwaenzi Kebinatshipi na wanariadha wenzake Bhekempilo Eppie, Letsile Tebogo na Bayapo Ndori.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#