Zaidi ya Wakenya 1,000 wanadaiwa kuandikishwa kupitia mawakala wasiowaaminifu

Serikali ya Kenya yaonya kuhusu usajili haramu wa vijana kwenda vitani

Serikali ya Kenya imesema zaidi ya wananchi 1,000 waliandikishwa kwenda Urusi kupitia ahadi za ajira, lakini baadhi yao waliishia kushiriki vita vya Ukraine. Taarifa zinaonyesha kuwa wengine bado wako vitani, baadhi wamejeruhiwa na wengine hawajulikani walipo.

Maafisa wa serikali wamesema wanaendelea kuchukua hatua za kidiplomasia na kisheria ili kukomesha vitendo vya ulaghai vinavyowalenga vijana wanaotafuta kazi nje ya nchi, huku wananchi wakihimizwa kuthibitisha uhalali wa ajira kabla ya kusafiri.

CHANZO: Newstimehub

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#