Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Sheria ya nchi hiyo inamruhusu kuwania muhula mpya kufuatia mageuzi ya kikatiba mwaka 2015.
Rais wa Jamhuri ya Congo (Brazzaville), Denis Sassou Nguesso, alitangaza siku ya Alhamisi kwamba atashiriki katika uchaguzi wa urais unaotarajiwa kufanyika mwezi Machi 2026, akiwa na lengo la kusalia madarakani kwa zaidi ya miongo minne huku akiwa na umri wa miaka 82.
"Nitashiriki kama mgombea katika uchaguzi wa urais," alisema kiongozi wa nchi hiyo katika taarifa iliyotolewa na ofisi yake.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, rais huyo alitangaza azma yake mbele ya umati wa maelfu ya watu katika wilaya ya kusini ya Ignie.
Kisheria, Nguesso hana kizuizi cha kushiriki katika uchaguzi huo. Marekebisho ya katiba yaliyopitishwa mwaka 2015 yameondoa kizuizi cha umri cha awali cha umri wa miaka 70 kwa wagombea urais na kuanzisha mfumo wa mihula mitatu ya miaka mitano.
Nguesso ameiongoza Jamhuri ya Congo, inayojulikana pia kama Congo-Brazzaville, katika mfumo wa chama kimoja tangu 1979 hadi 1992, kabla ya kushindwa na Pascal Lissouba katika uchaguzi wa kidemokrasia wa kwanza. Alirudi tena madarakani mwaka wa 1997 baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, na amekua akiongoza nchi hiyo hadi sasa.
Chama tawala Congolese Labour Party (PCT) kilitangaza Disemba mwaka jana kwamba rais atawania muhula mpya.
Nguesso alishinda tena katika uchaguzi wa Machi 2021 kwa zaidi ya asilimia 88 ya kura.
Comments
No comments Yet
Afrika
Maseneta wa Marekani waonesha wasiwasi kuhusu migogoro ya DRC huku kukiwa na hatari ya njaa
- 05 February 2026
- 14 Views
Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO
- 05 February 2026
- 5 Views
Tanzania: Chama cha ACT-Wazalendo chalaani uchomwaji wa nyaraka za Uchaguzi wa Zanzibar
- 05 February 2026
- 8 Views
Marekani yatuma maafisa wa kijeshi Nigeria
- 04 February 2026
- 9 Views
Latest News
Uturuki imelaani shambulizi la kigaidi nchini Nigeria lililoua takriban watu 170
- 06 February 2026
- 1 Views
Republic of Congo's President Nguesso confirms bid to extend 40 years at helm
- 05 February 2026
- 7 Views
Türkiye condemns terrorist attack in Nigeria that killed at least 170
- 05 February 2026
- 6 Views
Türkiye, Saudi Arabia eye joint investment in KAAN fighter jets, deepening defence cooperation
- 05 February 2026
- 9 Views
Comment