Dollar

41,9816

0.02 %

Euro

48,6749

-0.11 %

Gram Gold

5.464,9300

-1.84 %

Quarter Gold

9.466,3200

-4.71 %

Silver

65,2400

-0.83 %

Qatar Airways na Kenya Airways wametia saini makubaliano yatakayowezesha abiria kusafiri katika maeneo mbalimbali duniani.

Mashirika ya ndege ya Qatar na Kenya kushirikiana

Mashirika ya ndege ya Qatar Airways na Kenya Airways yametangaza kuzindua mfumo wa ushirikiano utakawaofikisha wateja wao katika maeneo 19, huku maeneo mengine yakitarajiwa kuongezwa hivi karibuni.

Abiria wa Kenya Airways sasa wanaweza kuunganisha safari zao katika miji kumi kati ya Nairobi na Doha, kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamad.

Vilevile, wateja wa shirika la ndege la Qatar Airways wanaweza kufika katika maeneo nane kwa kutumia mtandao wa Kenya Airways, kutokana na safari tatu za ndege za kila siku kati ya Doha na Nairobi. Wateja wataweza kusafiri kwa kutumia mfumo huu kuanzia tarehe 26 Oktoba 2025.

Uuzaji wa tiketi kwa ajili ya safari hizo za ndege umeanza Jumanne 21 Oktoba.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#