Dollar

40,9411

0.09 %

Euro

47,9607

0.44 %

Gram Gold

4.383,8900

0.13 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Kati ya waliokamatwa, ni pamoja na raia wa Ufaransa, aliyetambulika kama Yann Vezilier.

Mali yawatia nguvuni wanajeshi, raia wa Kifaransa kwa kuvuruga amani nchini humo

Serikali ya kijeshi ya Mali imewakamata majenerali wawili na raia mmoja wa Kifaransa kwa tuhuma za kuvuruga amani nchini humo, chombo cha habari cha Mali kimesema.

Vyanzo mbalimbali viliieleza Reuters kuwa zaidi ya wanajeshi 30 walimetiwa nguvuni kwa tuhuma za kuhusika na uvuragaji amani nchini Mali.

Kati ya waliokamatwa, ni pamoja na raia wa Ufaransa, aliyetambulika kama Yann Vezilier.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#