Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Umoja wa Afrika, Qatar na Marekani waunga mkono jitihada za kusitisha vita
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la M23 wamesaini makubaliano mapya ya kusitisha mapigano Februari 2 mjini Doha, hatua iliyopongezwa na Umoja wa Afrika kama ishara ya kupungua kwa uhasama mashariki mwa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa ya Qatar, makubaliano hayo yamefanyika chini ya mpango wa Utaratibu wa Kusimamia Usitishaji Vita na Uthibitishaji, yakihusisha pia kuhuishwa kwa makubaliano ya amani ya Doha ya Novemba 2025. Pande zote mbili zimethibitisha dhamira ya kutekeleza majukumu yao kwa dhati.
Mazungumzo hayo yalihudhuriwa na wawakilishi wa Marekani, waangalizi wa AU na vikosi vya MONUSCO pamoja na maafisa wa Mkutano wa Kimataifa wa Maziwa Makuu, waliotoa msaada wa kitaalamu kuhusu ufuatiliaji wa usitishaji vita. AU imesisitiza umuhimu wa utaratibu wa kuaminika wa kufuatilia makubaliano ili kujenga imani na kuimarisha utulivu.
CHANZO: Newstimehub
Comments
No comments Yet
Afrika
Afrika Kusini kupeleka jeshi katika kukabiliana na magenge ya uhalifu
- 13 February 2026
- 5 Views
Ramaphosa aagiza jeshi kushirikiana na polisi
- 13 February 2026
- 4 Views
Wataka uwajibikaji kwa familia zilizoathirika migodini
- 13 February 2026
- 10 Views
Wasioendeleza ardhi kwa miaka mitatu Tanzania kunyang'anywa na serikali
- 13 February 2026
- 10 Views
Latest News
Trump amlaumu rais wa Israel kwa kutotoa msamaha kwa Netanyahu
- 13 February 2026
- 3 Views
Afrika Kusini kupeleka jeshi katika kukabiliana na magenge ya uhalifu
- 13 February 2026
- 5 Views
Ramaphosa aagiza jeshi kushirikiana na polisi
- 13 February 2026
- 4 Views
African Union welcomes DRC ceasefire mechanism
- 13 February 2026
- 4 Views
Comment