Mahakama ya Tagansky District Court imemuamuru Google kulipa faini ya dola 139,000 baada ya kushindwa kuondoa taarifa zilizopigwa marufuku nchini Russia.

Google Yafungwa Faini ya $139,000 Moscow

Kwa mujibu wa mahakama, Google ilikiuka sheria za Urusi zinazodhibiti usambazaji wa taarifa kwa kuruhusu maudhui yaliyopigwa marufuku kuendelea kusambazwa mtandaoni. Hatua hii ya kisheria ni sehemu ya jitihada za Urusi kudhibiti majukwaa ya mitandao ya kijamii yanayotoka Marekani.

CHANZO: Newstimehub

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#