Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ameanza rasmi uongozi wa zamu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akisisitiza umuhimu wa umoja wa Afrika, biashara ya ndani na kuimarisha soko la pamoja la bara hilo.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ameanza rasmi uongozi wa zamu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akisisitiza umuhimu wa umoja wa Afrika, biashara ya ndani na kuimarisha soko la pamoja la bara hilo.