Dollar

41,2767

0.06 %

Euro

48,5817

0.03 %

Gram Gold

4.840,2100

0.36 %

Quarter Gold

0,0000

%

Silver

0,0000

%

Kony anakabiliwa na mashitaka 39 ya uhalifu wa kivita na dhidi ya ubinadamu, yakiwemo mauaji, ubakaji, utumwa wa kingono, na utekaji wa watoto.

Mahakama ya ICC kuanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne, itasikiliza kesi ya kihistoria dhidi ya Joseph Kony, kiongozi wa kundi la waasi la Lord’s Resistance Army (LRA), ambaye amekuwa mafichoni kwa zaidi ya miaka 30.

Kony anakabiliwa na mashitaka 39 ya uhalifu wa kivita na dhidi ya ubinadamu, yakiwemo mauaji, ubakaji, utumwa wa kingono, na utekaji wa watoto.

Comments

Comment

Comment Your email address will not be published. Required fields are marked*

No comments Yet

#