Sport
- Sport
- World
- Insight
- Africa
- Business
- Life
- Opinion
- Staff Reporter
- Business & Technology
- Pauline Odhiambo
- Politics
- Charles Mgbolu
- Arts & Culture
- War On Gaza
- Business & Technology
- Guinness World Record For The Longest Chess
- Cryptocurrency Trading Platform
- Arts & Culture
- Sylvia Chebet
- The Record Attempt Kicked Off On April 17th
- Despite Efforts To Stop The Killings.
- Emmanuel Oduor
- Climate Change
- Semblance Of Security Returns
- Medicinal Plants
- Firmain Eric Mbadinga
- Kategori bulunamadı
- Nuri Aden
- Burna Boy Has Worked To Carve A Unique Space For Himself
- Dayo Yussuf
- Edward Qorro
- Sudan Begins Rebuild Of Khartoum Amid Devastating Civil War
- Chess Federation
- Millicent Akeyo
- From Onana To Kudus: African Stars Missing At Afcon
- Egypt Recorded 19 Million Tourists In 2025: Minister
- Brian Okoth
- Died At The Age Of 54
Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania chaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa kwake.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, amehudhuria maadhimisho hayo yaliyofanyika leo Februari 5, 2026 katika Wilaya ya Chemba, mkoani Dodoma.
Akizungumza katika maadhimisho hayo, Dkt. Nchimbi ametoa wito kwa wanachama wa CCM kutekeleza wajibu wao wa msingi na wa kudumu kwa kuhakikisha chama kinaendelea kuwa cha Watanzania wote na kuwa ndio kimbilio lao.
Dkt. Nchimbi amesema kuwa kila mwanachama na kiongozi wa CCM anatakiwa kutafakari matendo yake na namna yanavyochangia maendeleo, kuimarisha umoja na mshikamano wa chama pamoja na Taifa kwa ujumla.
Aidha, Dkt. Nchimbi amesema kuwa wakati chama kikielekea katika uchaguzi wa ndani kuanzia ngazi ya shina hadi Taifa mwaka 2027, ni muhimu kwa wanachama kuanza kujiandaa mapema kwa kuzingatia misingi muhimu ikiwemo kulinda maadili ya chama, kudumisha umoja na mshikamano, kuendeleza amani na utulivu, pamoja na kutambua kuwa uongozi ni dhamana ya kuwatumikia wananchi.
Comments
No comments Yet
Afrika
Rais wa Congo kuwania tena urais baada ya kuiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 40
- 06 February 2026
- 4 Views
Maseneta wa Marekani waonesha wasiwasi kuhusu migogoro ya DRC huku kukiwa na hatari ya njaa
- 05 February 2026
- 14 Views
Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO
- 05 February 2026
- 6 Views
Tanzania: Chama cha ACT-Wazalendo chalaani uchomwaji wa nyaraka za Uchaguzi wa Zanzibar
- 05 February 2026
- 8 Views
Latest News
Turkiyya ta bunƙasa taimakon da ta ke ba Somaliya na sojojin sama da ƙasa don yaƙi da ta'addanci
- 06 February 2026
- 1 Views
African Union condemns Nigeria terror attack that killed at least 170
- 06 February 2026
- 4 Views
Jamhuriyar Benin da AU sun yi Allah wadai da harin ta'addanci da ya kashe mutum 170 a Nijeriya
- 06 February 2026
- 6 Views
NCC ta gargaɗi masu gini da aikin hanya kan lalata layukan sadarwa na ƙarƙashin ƙasa a Nijeriya
- 06 February 2026
- 1 Views
Comment